- 2,314 viewsDuration: 7:47Zoezi la kuchukua maoni kutoka kwa wafanyikazi wa nyumbani ili kubadili sheria ya mazingira bora ya kufanyia kazi limeng'oa nanga huko mombasa. Shirika la leba duniani linashinikiza kutekelezwa kwa mapendekezo ya kongamano la 189 na 190 kuhusu unyanyasaji na dhulma kwa wafanyakazi wa nyumbani.