Skip to main content
Skip to main content

Afya ya uzazi

  • | Citizen TV
    157 views
    Duration: 3:25
    Kina mama wajawazito kutoka jamii za wafugaji kaskazini mwa nchi, wamehimizwa kusaka huduma za kujifungua hospitalini ili kukomesha vifo. Umbali wa vituo vya afya umetajwa kuchangia hali hiyo na kusababisha kina mama wanapojifungua na watoto kufariki. Bonface Barasa anaarifu zaidi kutoka samburu.