Skip to main content
Skip to main content

Majaji kumi na watano wa maahakama ya rufaa waapishwa

  • | Citizen TV
    474 views
    Duration: 1:27
    Hafla ya kuwaapisha majaji 15 walioteuliwa katika idara ya mahakama ya rufaa juma lililopita imefanyika leo katika ikulu ya Nairobi. Hafla hiyo imeshuhudiwa na rais William Ruto, jaji mkuu Martha Koome, majaji wa mahakama ya upeop miongoni mwa mafisa wengine wa idara ya mahakama. Majaji hao sasa wanatarajiwa kusaidia katika kurahisisha utoaji wa huduma za mahakama na uamuzi wa kesi za rufaa ambazo mara nyingi huchukua muda kabla ya uamuzi kutolewa.