Skip to main content
Skip to main content

Nageeye na Chepkirui kuongoza vikosi vya mabingwa kwenye New York Marathon 2025

  • | Citizen TV
    365 views
    Duration: 1:10
    MABINGWA WATETEZI ABDI NAGEEYE WA UHOLANZI NA SHEILA CHEPKIRUI WA KENYA WANAONGOZA SAFU ILIYOJAA WANARIADHA WALIOBOBEA AMBAO WAMETHIBITISHWA KUSHIRIKI MBIO ZA NEW YORK MARATHON ZA MWAKA WA 2025 TAREHE 2 NOVEMBA