Skip to main content
Skip to main content

Muungano wa upinzani wasema utamenyana na rais kwa pamoja

  • | KBC Video
    389 views
    Duration: 4:16
    Muungano wa upinzani unasisitiza kwamba utamenyana na Rais William Ruto kwenye kinyang'anyiro cha urais pamoja, licha ya madai ya juhudi zinazoendelea za kuwatenganisha. Viongozi hao waliozungumza wakati wa kongamano la kitaifa la wajumbe wa chama cha DP walisisitiza kuwa watashiriki kampeni za pamoja, ila hawakueleza ni lini watamteua mwaniaji wake wa urais. Hayo yakijiri, waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen ameagiza maafisa wa usalama katika eneo la kati ya nchi kuwajibika na kuhakikisha matukio kama yale yaliyoshuhudiwa wakati wa ibada ya Jumapili iliyohudhuriwa na aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua huko Othaya Jumapili iliyopita hayatashuhudiwa tena. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive