- 1,854 views
Baada ya miaka ya kuhudumu kama mkuu wa utumishi wa umma, Joseph Kinyua leo amemkabidhi mamlaka hayo Felix Koskei ambaye sasa ndie mkuu wa utumisi wa umma, chini ya serikali ya Rais William Ruto. Joseph Kinyua aliyeshikilia wadhifa huu tangu wakati wa utawala wa Rais mstaafu Marehemu Mwai Kibaki amemkabidhi mamlaka Koskei huku akitoa shukrani kwa muda aliohudumu na kuwatakia heri waliochaguliwa kuwa mawaziri. Akizungumza baada ya kutoa hotuba yake, Rais William Ruto alimtaja Kinyua kuwa mfanyikazi wa umma aliyejitolea, na kuwa akiongoza shughuli ya mpito kwa njia sambamba.
Joseph Kinyua, amabaye amekuwa mkuu wa utumishi wa umma astaafu
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - Freed after nine years: Court quashes 'President's Pleasure' detention of mentally ill murder convict.
- 5 Jul 2025 - Kenyans have been urged to lease idle government land to help address the country’s growing food deficit.
- 5 Jul 2025 - Mudavadi described the President as “a man in a tight corner,” noting that the moment demands not popularity but resolve.
- 5 Jul 2025 - Kenya’s blood bank is running low, with only 250,000 pints available against a target of 520,000, as chronic illnesses, accidents, and protest injuries push up demand
- 5 Jul 2025 - Mwangaza is working on making her political comeback after being impeached as Meru Governor.
- 5 Jul 2025 - This is not the first time the Military Chief has criticised Kenya.