Skip to main content
Skip to main content

Madaktari wa mifugo wataka washukiwa wote wanaouza nyama ya punda wakamatwe

  • | Citizen TV
    317 views
    Duration: 3:34
    Siku chache baada ya Runinga ya Citizen kuangazia Makala maalum yaliofichuo biashara haramu ya ngozi na nyama ya punda nchini, muungano wa chama cha madaktari wa mifugo bara Afrika sasa wametoa msimamo wao kuhusu uozo huo na kuitaka serikali kuchukulia hatua za kisheria wahusika wote.