Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Nakuru imeanza kuweka mikakati ya kuimarisha amani kabla na baada ya uchaguzi mkuu

  • | Citizen TV
    271 views
    Duration: 1:48
    Mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 nchini, kaunti ya Nakuru imeanza kuweka mikakati ya kuimarisha na kudumisha amani, kabla, wakati na baada ya uchaguzi huo.