- 139 viewsDuration: 2:15Wakaazi na wafanyibiashara wa Isibania katika soko la Mama Mboga wameelekeza kidole cha lawama kwa Serikali ya Kaunti, wakilalamikia kile wanachokitaja kama uzembe wa viongozi wa kaunti katika kusimamia masuala ya usafi wa mazingira