- 2,934 viewsDuration: 3:47Mila na tamaduni ya jamii ya Wagabra huwatenga kina mama na wasichana waliopata watoto nje ya ndoa.. Kina mama hao pia hawatakiwi kuhudhuria au kushiriki sherehe zozote za kitamaduni ikisemekana kuwa hiyo ni mwiko. Hata hivyo wanaume waliohusika wanaruhusiwa kufanyiwa matambiko na kisha kuruhusiwa kuoa mke mwingine