Skip to main content
Skip to main content

Mwalimu azua zogo katika shule ya msingi ya Hola, Tana River huku wanafunzi wakitaka aondolewe

  • | Citizen TV
    64 views
    Duration: 1:25
    Wanafunzi wa shule ya msingi ya Hola, kaunti ya Tana River, wameandamana hadi afisi ya Mkurugenzi wa elimu kulalamikia mienendo na tabia ya mmoja wa walimu wa shule hiyo ambaye anasemekana kuzua rabsha shuleni humo.