Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Kilimo Paul Kipronoh asema watashirikiana na mashirika ya kibinafsi kuzalisha chakula

  • | Citizen TV
    48 views
    Duration: 1:42
    Huku maeneo mengi ya nchi yakiendelea kukumbwa na ukame, serikali imesema kuna mipango inawekwa ya kushirikiana na mashirika ya kibinafsi katika juhudi za kuimarisha utoshelevu wa chakula.