6 Feb 2026 1:35 pm | Citizen TV 176 views Duration: 3:02 Mirindimo ya kisiasa inapozidi kushika kasi uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 unapokaribia, wanaharakati dhidi ya dhulma kwa wasichana wamehimiza wanasiasa Kaunti ya Narok kuchangia kutoa hamasa dhidi ya ukeketaji.