- 1,346 viewsDuration: 1:55Wanawake zaidi ya mia tatu ambao ni viongozi wa nyanjani wa chama cha PAA kaunti ya Kilifi wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ODM. Wakiongozwa na mwanachama wa baraza kuu la kitaifa la chama cha PAA Elizabeth Muthooka wamesema wamechukua uamuzi huo kutokana na kile wanachodai kuhadaiwa na uongozi wa chama hicho, licha ya kukiunga mkono kwa muda mrefu.