- 104 viewsMaafisa wa Upelelezi wamewakamata washukiwa wawili wanaohusishwa na wizi wa pesa kutoka kwenye maduka kadhaa ya Mpesa humu nchini...washukiwa hao walikamatwa katika uwanja wa JKIA walipotua kutoka Zambia ambako inaaminika walikuwa mafichoni