- 20 viewsMamia ya wanafunzi waliofaulu katika mtihani wa KCSE mwaka 2025 wana kila sababu ya kutabasamu baada ya mpango wa Equity Leadership Program kuwasajili na kuwapa nafasi ya kupokea mafunzo maalum. Mafunzo hayo yanayohusu uongozi na maadili yatafanyika jijini Nairobi. Wanafunzi hao wanatoka kaunti za Kisii, Migori na Machakos