- 850 views
Familia moja mtaani Westlands inalilia haki baada ya kufurushwa kutoka makao yao ya miaka 46 na nyumba yao kubomolewa kufuatia mzozo wa ardhi. Familia hiyo ililetewa stakabadhi za mahakama na mwekezaji mmoja aliyedai kununua ardhi hiyo mwaka wa 2010 siku ya ijumaa. Aliyewaletea stakabadhi hiyo alikuwa ameandamana na kundi la vijana walio wahamisha kwa lazima na baadhi yao kuiba mali. Nyumba hiyo ilibomolewa wikendi hii na hadi wakati tulipozuru eneo hilo, vijana wanaoaminika kutumwa na mwekezaji huyo walikuwa wanakusanya vifaa vilivyobaki kwenye vifusi. Polisi wanasema mwekezaji huyo hakufuata sheria na hatua zitachukuliwa dhidi yake.
Familia moja mtaani Westlands afurushwa kutoka nyumbani kwao
- - Ajira kwa vijana ››
- - Mbio za amani ››
- - Haki za watoto ››
- 2 Jul 2025 - Former Chief Justice David Maraga has explained that under Kenyan law, a sitting president can be prosecuted after leaving office, not when in power.
- 2 Jul 2025 - An Eldoret court is set to determine if it will okay an application by the prosecution to detain a police officer accused of fatally shooting his girlfriend and another man at a club in Jua kali, in Uasin Gishu county for 14 more days pending conclusion…
- 2 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has reaffirmed the Ministry’s commitment to resolving long-standing concerns surrounding Universal Health Coverage (UHC) staff. This follows after a consultative meeting with the Kenya Union of Nurses (KNUN) and the…
- 2 Jul 2025 - The last round of investigations was conducted for two weeks in June.
- 2 Jul 2025 - The three were accused of organising goons to infiltrate the June 25, protests.
- 2 Jul 2025 - Political volatility has in the past made some investors shy away from the Kenyan market.
- 2 Jul 2025 - As the probe on the June 25 anniversary protests ensues, 141 more suspects were arraigned in different courts across the nation.
- 2 Jul 2025 - The head of state took the moment to call for expanded collaboration to unlock the continent’s development potential through capital markets.
- 2 Jul 2025 - Ngirici said the Gen Zs have genuine issues that should be listened to and addressed without resorting to chaos.
- 2 Jul 2025 - The High Court in Eldoret will issue its judgment on Friday in the 2022 case.