- 566 views
Miili ya watu 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Shirika la ndege la Precision air hapo jana imesafirishwa kutoka uwanja wa kaitaba mjini Bukoba. Shughuli ya kutoa buriani iliongozwa na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.Rais Suluhu ametuma rambirambi zake kwa familia huku uchunguzi wa kina ukianzishwa.Mkuu wa mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amemzawadi shilingi milioni moja za tanzania kijana Majaliwa Jackson ambaye aliwaokoa watu 24 kati ya 26 walionusurika.Kijana huyo pia atapokea mafunzo ya uokoaji kutoka serikali ya Tanzania. Ndege hiyo iliyopata ajali hapo jana asubuhi ilipokuwa ikitua katika uwanja wa bukoba.
Miili ya watu 19 waliofariki kwenye ajali ya ndege nchini Tanzania imesafirishwa kutoka Bukoba
- 2 Jul 2025 - A petition has been filed at the High Court seeking the removal of the director-general and chief executive officer of the Kenya Rural Roads Authority (KeRRA), Philemon Kandie over allegations that he financed and coordinated violent, politically…
- 2 Jul 2025 - The High Court has directed all parties in a case challenging the alleged transfer of the Public Seal of Kenya to comply with earlier orders on the filing of responses and submissions.
- 2 Jul 2025 - WFP on June 2025 announced the suspension of the ‘Bamba Chakula’ e-voucher leaving refugees in Kenya’s Dadaab camp at risk of starvation and social unrest.
- 2 Jul 2025 - The Supreme Court on Monday ruled that children born out of wedlock to Muslim fathers are entitled to inherit from their father's estate, marking a significant development in the interpretation of Islamic personal law in Kenya.
- 2 Jul 2025 - Former Chief Justice David Maraga has explained that under Kenyan law, a sitting president can be prosecuted after leaving office, not when in power.
- 2 Jul 2025 - The directives follow public outcry from taxpayers during the initial June 30 deadline.
- 2 Jul 2025 - The subjects are a key part of the new pathways being offered under CBE.
- 2 Jul 2025 - An Eldoret court is set to determine if it will okay an application by the prosecution to detain a police officer accused of fatally shooting his girlfriend and another man at a club in Jua kali, in Uasin Gishu county for 14 more days pending conclusion…
- 2 Jul 2025 - The discounts will run until September 28.
- 2 Jul 2025 - The project is set to give the Nairobi CBD a facelift.