- 1,067 views
Hali ya taharuki imetanda katika kijiji cha Lolmolog, kaunti ya Samburu, baada ya wezi wa mifugo kushambulia kijiji hicho na kutoweka na mbuzi zaidi ya 240. Aidha wavamizi hao walimpiga risasi mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 18 ambaye kwa sasa yuko hali mahututi katika hospitali ya Maralal. Wezi hao waliokuwa wamejihami waliwazuia wakazi kutoka nje walipokuwa wakiiba mifugo hao. Japo polisi eneo hilo wanasema kuwa hawajapokea habari kuhusu kisa hicho, wakazi wanaitaka idara ya usalama kuwatuma maafisa zaidi kushika doria na kuhakikisha kuwa mifugo walioibwa wamerejeshwa
Wezi wa mifugo wavamia kijiji cha Lolmolog na kuiba mbuzi 240
- - Duniani Leo ››
- 4 Jul 2025 - At least six people were dead and dozens unaccounted for Thursday after a ferry sank in rough seas on its way to the Indonesian resort island Bali, according to rescue authorities who said 29 survivors had been plucked from the water so far.
- 4 Jul 2025 - The European Union on Thursday strongly condemned "acts of hatred and violence" in Serbia and called for calm days after a massive protest ended in clashes between police and demonstrators.
- 4 Jul 2025 - An explosion on Thursday killed a former official in the Russian-occupied eastern Ukrainian city of Lugansk, local Moscow-installed authorities said.
- 4 Jul 2025 - Police pursue suspected serial killer as 20 people murdered
- 4 Jul 2025 - Nairobi gets lion's share of Sh415b as new formula takes effect
- 4 Jul 2025 - IMF demands corruption audit to unlock stalled Kenya billions
- 4 Jul 2025 - Wave of destruction in counties as public anger boils over murders
- 4 Jul 2025 - DCI protests after Ndiang'ui appears in court
- 4 Jul 2025 - Police station set on fire as Ojwang' returns in coffin
- 4 Jul 2025 - MPs questions State overreach in new media code of conduct