Skip to main content
Skip to main content

Usalama wa Rais: Raia amkimbilia Ruto, mlinzi awazuia huko Wajir na Mombasa

  • | Citizen TV
    6,242 views
    Mwanamume mmoja leo nusura akatize hotuba ya rais ruto huko wajir baada ya kujaribu kumkimbilia rais jukwaani. Mlinzi wa rais hata hivyo alifanikiwa kumrukia jamaa huyo kabla hajamfikia rais ambaye kwa sekunde chache alilazimika kukatiza hotuba yake. Rais hata hivyo akiwaagiza walinzi wake kumruhusu kufuatilia yaliokuwa yakiendelea katika hafla ya mradi wa nyota huko Wajir.