- 824 views
Mahakama imekubali ombi la upande wa mashtaka kuondoa kesi ya ufisadi dhidi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua na wengine tisa ya shilingi bilinoni saba. Hakimu Victor Wakhumile akikubali ombi hilo aliwaonya washtakiwa katika kesi hiyo kwamba wanaweza kukamatwa na kushtakiwa tena na kosa hilo. Upande wa mashtaka ulidai kwamba ushahidi uliopo katika kesi hiyo hauna msingi wowote wakiongeza kwamba bado uchunguzi unaendelea na iwapo watapata ushahidi wa kutosha basi watuhumiwa watafunguliwa mashataka upya
Mahakama yakubali ombi la DPP la kumuondolea naibu rais Gachagua kesi
- 4 Jul 2025 - South Africa's former deputy president David Mabuza has died aged 64, the country's public broadcaster reported on Thursday.
- 4 Jul 2025 - Kenyan firms across multiple sectors faced a challenging month in June, grappling with weakened consumer demand, operational pressures, and renewed street protests that disrupted commerce and mobility. These compounded challenges led to sluggish sales…
- 4 Jul 2025 - Limuru Golf Course will this weekend host a field of 98-top ranked golfers for the 98th edition of the Limuru Open and the Brakenhurst Trophy. The event is primed to showcase the finest in Kenyan golf with the participants vying for a prize pool of Sh…
- 4 Jul 2025 - Kenya national team head coach Harambee Stars head coach Benni McCarthy has unveiled a provisional squad for the upcoming CAF African Nations Championship (CHAN), a tournament exclusive to players competing in their domestic leagues. According to the…
- 4 Jul 2025 - MPs questions State overreach in new media code of conduct
- 4 Jul 2025 - Why Kariuki couldn't survive the police bullet
- 4 Jul 2025 - Farmers to get record payment, says Coop boss
- 4 Jul 2025 - Passaris's 'big, beautiful' Bill that gives goons a free pass in the city
- 4 Jul 2025 - Knec unveils new training centre to demystify exams
- 4 Jul 2025 - We will speak in one voice in 2027 polls-opposition