Skip to main content
Skip to main content

Bungoma: mama wa watoto wanne kutoka eneo bunge la Kanduyi baada ya kujengewa nyumba

  • | NTV Video
    8,280 views
    Duration: 3:08
    Huku mvua kubwa inapoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali nchini ni afueni kwa mama wa watoto wanne kutoka eneo bunge la Kanduyi katika kaunti ya Bungoma baada ya kujengewa nyumba, hasa baada ya kuishi katika kibaridi kwa zaidi ya miaka mitano kutokana na maisha ya uchochole. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya