- 10,610 viewsDuration: 3:06Rais William Ruto ameshtumu viongozi wa upinzani anaodai wanawapotosha wakenya kwa kueneza siasa za kumlenga na kukosa ajenda. Rais Ruto aliyezuru eneo bunge la Westlands kuzindua miradi ya maendeleo ametetea hatua iliyopigwa na uongozi wake katika maswala ya ujenzi wa nyumba, ustawishaji wa uchumi na kuwekeza katika masomo