Simba wa teranga waanza uwakilishi wa Afrika bila Sadio Mane
Timu ya taifa ya Senegal maarufu kama Simba wa Teranga wanaanza kampeni yao kuwania ubingwa wa kombe la dunia huko Qatar kwa kupambana na uholanzi huku wakimkosa mcheza kandanda bora wa kiafrika mwaka 2022, Sadio Mane ambaye ni mmoja wa washambuliaji hatari sana duniani katika timu ya Bayern Munich. Mchango wake ulikuwa muhimu sana kwa mafanikio ya timu ya taifa ya Senegal mwaka huu, ushahidi uliobainika katika mchezo wa fainali ambapo uliipatia ushindi katika mikwaju ya penati na kuishinda Misri mwezi Februari katika fainali za kombe la mataifa ya Afrika. Jinamizi la mashabiki wa Senegal lilijitokeza Alhamisi wiki iliyopita wakati timu ilipotangaza kuwa mchezaji Sadio mane atakosa mechi za Kombe la Dunia akihitaji kufanyiwa operesheni kutokana na majeraha aliyopata.
28 Apr 2024
- The boat is said to have had been ferrying excess passengers before it capsized.
28 Apr 2024
- Irate residents reportedly descended on the officer, raining blows on him.
28 Apr 2024
- The report was filed at the traffic base after the crack deepened.
29 Apr 2024
- Kenya Airways was forced to divert flights at Jomo Kenyatta International Airport on Saturday night, due to heavy rains and poor visibility.
29 Apr 2024
- The loss of lives comes as the rains and the floods continue to cause massive destruction of property and infrastructure across nearly all counties.
28 Apr 2024
- A search and rescue mission is ongoing after a private boat that was ferrying an unspecified number of people capsized between Madogo and Garissa on Sunday evening.
28 Apr 2024
- Until their tragic deaths, Eric Mutuku and Esther Kiamaiga were second- and first-year students, respectively, studying Human Resources and Education.
28 Apr 2024
- 22 p****e have been rescued after a boat en route from Kona Punda to Mororo along the Garissa-Madogo road capsized. The Commanding Officer of Madogo County Station, James Tendeti, said that the rescued individuals had been taken to Bura Tana Hospital in…
28 Apr 2024
- A congregant with the Maranatha Faith Assembly Church in Ongoche sub-location, Nyatike sub-county died on Sunday while four others sustained injuries after the wall of a building under construction collapsed.
28 Apr 2024
- KPA women clobbered Strathmore University Swords 70-35 in another tie at the Makande Welfare hall.
28 Apr 2024
- KeNHA has directed traffic from Kiria-ini to Mugeka-Kaweru Junction-Gakonya
28 Apr 2024
- The activists saay if nothing is done, their efforts will be muzzled
28 Apr 2024
- NCDs are the leading cause of death worldwide and represent an emerging global health threat