- 360 views
Chama cha walimu wa shule za upili (KUPPET), limeitaka tume ya walimu kuwaongezea marupurupu walimu wanaofanya kazi katika maeneo yenayokabiliwa na changamoto za kiusalama, la sivyo iwaondoe maeneo hayo. Kwenye kongamano la kila mwaka la chama hicho kaunti ya Samburu, viongozi wa KUPPET wamesema kuwa walimu wanaofanya kazi katika maeneo ya Loongewan, Lolmolog, Losuk, Loibornkare na Pura wanakabiliwa na hali ngumu kutokana na uvamizi wa kila mara.KUPPET inamtaka Rais William Ruto kuangazia maslahi ya walimu. Aidha walimu wanataka fedha za kutosha kufanikisha mtaala wa CBC
KUPPET yataka usalama wa walimu kuangaziwa
- 18 Jul 2025 - A multi-agency team led by officers from the Obama Police Station in Kayole carried out a night raid on Thursday targeting illicit alcohol brewing dens in the Mwengenye area, near the Dandora Bridge along the Nairobi River.
- 18 Jul 2025 - Members of Parliament have raised concerns over delayed justice within the Judicial system, calling on judges to expedite case processing.
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara has been presented at the Milimani Law Courts following her arrest on Friday.
- 18 Jul 2025 - The article gained significant traction globally, prompting the government's response.
- 18 Jul 2025 - Many social media users criticised the ban as sexist, invasive, and paternalistic.
- 18 Jul 2025 - The Insurance Regulatory Authority (IRA) has announced the cancellation of operational licences for twenty insurance brokers. In a Gazette Notice published on Friday, 18th July 2025, the Authority stated: “The Insurance Regulatory Authority (IRA) hereby…
- 18 Jul 2025 - The authority stated that the firms have been deregistered in accordance with the law.
- 18 Jul 2025 - The measure is aimed at supporting local farmers and processors by promoting domestic value addition through local processing and industrial development.
- 18 Jul 2025 - The extreme sportsman was known as "Fearless Felix" for his adventurous stunts
- 18 Jul 2025 - The senator was speaking during a Senate session on Thursday.