- 439 viewsDuration: 2:48Serikali kupitia idara ya hali ya anga imetoa msaada wa magondora na mashuka kwa wanafunzi sitini na watano ambao bweni lao liliteketea katika shule ya upili ya wavulana ya KYAMUTHEI huko Kaiti kaunti ya makueni wiki mbilli zilizopita huku uchunguzi wa kilichosababisha moto huo ukiwa ungali unaendelea.