- 2,133 views
Vita vya maneno na sarakasi zimeshuhudiwa, siku ya kwanza ya vikao vya umma kuhusu hoja ya kutaka kubanduliwa kwa gavana wa Meru Kawira Mwangaza. Japo kuna wale waliomtetea Gavana Mwangaza, wengi waliozungumza kwenye kikao cha leo wameunga mkono hoja hiyo. Kikao cha leo kilichoandaliwa katika ukumbi wa bunge la kaunti ya Meru kilizua mdahalo mkali, hali iliyolazimu vikao hivyo kusimamishwa mara kwa mara. Haya yanajiri huku kesi inayopinga shughuli ya kumbandua Gavana Mwngaza ikiwasilishwa mahakama kuu mjini Meru. Gavana Mwangaza kupitia wakili Elias Mutuma anasema kuwa, hoja iliyowasilishwa bunge la kaunti haikuzingatia sheria na haina uhaki.
Vita vya maneno na kizaazaa zimeshuhudiwa wakati wa hoja ya kumbabdua Gavana Mwangaza
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- 3 May 2024 - First Lady Rachel Ruto has distributed food and household items to 203 families, totalling 1,131 individuals, affected by flooding in Thika West, Kiambu County.
- 3 May 2024 - President William Ruto has directed the Ministry of Education to postpone the school opening date following the crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
- 3 May 2024 - The Ministry of Education has announced the opening of schools to remain on Monday even as floods continue to wreak havoc across the country.
- 3 May 2024 - The top dream career among the generation was to be self-employed or run a business.
- 3 May 2024 - Professor Mwenda Ntarangwi has been appointed as the new Vice Chancellor of the United States International University – Africa, following a rigorous selection process conducted by the University Council.
- 3 May 2024 - He said the floods have claimed 210 lives as of Friday, May 3.
- 3 May 2024 - The eight rescued included a pregnant mother.
- 3 May 2024 - Relocation notices have been issued to all persons living in unplanned settlements.
- 3 May 2024 - Move to support efficient and transparency.
- 3 May 2024 - As of May 3, death toll from the ravaging floods reached 210.