- 1,517 viewsDuration: 3:09Mamlaka ya Bima ya Afya ya Jamii (SHA) imeingia lawamani baada ya kufichuliwa kuwa madai ya mabilioni ya shilingi hayajalipwa, hali inayotishia kufunga hospitali binafsi na za kidini ambazo huhudumia karibu nusu ya wagonjwa nchini