- 516 views
Familia moja kutoka kutoka eneo la Ugunja inalilia haki kufuatia mauaji ya jamaa yao. Inadaiwa kuwa Gabriel Waeke ambaye alikuwa mwashi kutoka kwenye kijiji cha Imbaya alipigwa hadi kufa baada ya kuuza toroli ya jirani yao. Kakake mwendazake Stephen Ogutu anadai kuwa Gabriel alichukuliwa na jirani yao mmoja aliyempiga kwa silaha butu kisha kumuacha kwenye hali mahututi. Ogutu akisema kuwa juhudi za kumkimbiza nduguye hadi katika hospitali ya kaunti ndogo ya Ambira hazikufua dafu kwani alifariki alipokuwa akipokea matibabu. Sasa wanataka uchunguzi wa haraka kufanywa na wahusika kuchukuliwa hatua
Familia yadai haki kufuatia mauaji ya jamaa yao Ugunja
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
- 12 Jul 2025 - A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
- 12 Jul 2025 - The leadership of two road agencies has been shaken following the resignation of two top officials on Friday.
- 12 Jul 2025 - The government has unveiled a bold plan to expand coffee farming across regions as part of a national revival effort for the once-thriving sector.
- 12 Jul 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) party leader Rigathi Gachagua has said that the opposition is finalizing evidence against President William Ruto for submission to the International Criminal Court.
- 12 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has called on the Kenya Red Cross Society to pursue accreditation from the Green Climate Fund (GCF) to strengthen its role in building climate-…
- 12 Jul 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced a temporary traffic disruption on Mombasa Road near Syokimau Railway Station to allow for the installation of the fabricated footbridge beams of the Syokimau Railway Footbridge.
- 12 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga's proposal for a national dialogue to solve the country's challenges, arguing that the ODM leader has engaged in such talks in the past without…
- 12 Jul 2025 - Residents of the 13 areas were also directed to surrender firearms.
- 12 Jul 2025 - Ainabkoi MP Samuel Kiprono Chepkonga has stirred debate following his defence of police actions during recent anti-government protests,