- 1,790 views
Huku idadi ya wanaojisajili kupokea mikopo ya hazina ya hasla ikiendelea kuongezeka, kiwango kinachotolewa kinazua mtafaruku huku wengi wakisema hakitoshi kuendeleza au kuanzisha biashara kama ilivyolengwa. Hata hivyo waziri wa vyama vya ushirika na biashara ndogo Simon Chelugui, anasema kuwa pesa zaidi ya shilingi bilioni moja nukta nane zimetolewa kwa wakenya kufikia jumamosi saa sita mchana huku shilingi milioni sita zikiwa tayari zimelipwa na waliopokea pesa hizo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, baadhi ya wakenya wamenaitaka serikali kuongeza mkopo wanaotoa ili waweze kuzalisha na kuregesha baada ya wiki mbili
Wanaopata mikopo ya hazina ya 'hustler' walalamikia kiwango
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - The Commission is under pressure to deliver on its constitutional mandate and rebuild public confidence.
- 12 Jul 2025 - The law emphasises that officers must first attempt peaceful methods such as verbal warnings.
- 12 Jul 2025 - The Senegalese government issued a warning of 'repercussions' against the organisers.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- - Ndindi Nyoro: Government is to blame for the violence and deaths during the Saba Saba protests
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters