- 1,790 views
Huku idadi ya wanaojisajili kupokea mikopo ya hazina ya hasla ikiendelea kuongezeka, kiwango kinachotolewa kinazua mtafaruku huku wengi wakisema hakitoshi kuendeleza au kuanzisha biashara kama ilivyolengwa. Hata hivyo waziri wa vyama vya ushirika na biashara ndogo Simon Chelugui, anasema kuwa pesa zaidi ya shilingi bilioni moja nukta nane zimetolewa kwa wakenya kufikia jumamosi saa sita mchana huku shilingi milioni sita zikiwa tayari zimelipwa na waliopokea pesa hizo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, baadhi ya wakenya wamenaitaka serikali kuongeza mkopo wanaotoa ili waweze kuzalisha na kuregesha baada ya wiki mbili
Wanaopata mikopo ya hazina ya 'hustler' walalamikia kiwango
- 1 May 2024 - The Kenya National Highways Authority (KENHA) has announced partial closure of the Thika Superhighway at the Kahawa Sukari drift.
- 1 May 2024 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced the immediate closure of the Athi River - Namanga Road due to massive flooding at Kimalat area following heavy downpour in the area.
- 1 May 2024 - The bodies of seven people who have drowned in various counties during the ongoing rains were found on Tuesday, while a search for two more is still ongoing.
- 1 May 2024 - The Council of Governors (COG) Chairperson, Anne Waiguru has urged Constitutional and Independent Offices to prioritize the protection of devolution in their constitutional duties.
- 1 May 2024 - As the nation celebrates the struggle for workers and the gains made in achieving labour rights, workers in the healthcare sector are still finding it hard to wear a grin.
- 1 May 2024 - At least three roads within Nairobi Metropolis have been partially closed and traffic redirected after they were flooded following heavy rains on Tuesday night.
- 1 May 2024 - A middle-aged woman has died after a 4-storey building under construction collapsed in Karia area, Kirinyaga County.
- 1 May 2024 - The directive was issued following heavy rains that rendered the section impassable.
- 1 May 2024 - Ndung'u said the authority will continue to monitor the water levels and advise when it subsides.
- 1 May 2024 - Six people were rescued on Wednesday morning after floods rocked homesteads in Kitengela, Kajado County following a heavy downpour.