- 95 views
Rais William Ruto sasa amesema kinara wa upinzani Raila Odinga ana uhuru wa kufanya maandamano kama anavyotaka. Rais amesema haya katika kaunti ya Embu alikohudhiria ibada ya pamoja. Raila Odinga ametishia kuandaa maandamano kutokana na hatua ya muungano wa kenya kwanza kufurusha makamishena wanne wa IEBC, huku Justus Nyangaya akiamua kujiuzulu. Aidha, rais na naibu wake Rigathi Gachagau wamesema hawatahadaiwa na kinara wa Azimio kufanya handisheki, Gachagua akisema makubaliano kati ya Uhuru na Raila ndiyo yaliosababisha kuvurugika kwa ajenda za maendeleo ya serikali ya awali. Raila amepanga kufanya mikutano ya kisiasa tarehe saba wiki ijayo.
Rais amemsuta Raila kwa kuandaa maandamano ya kupinga serikali
- 2 Aug 2025 - While enumerating productive interventions implemented in various sectors to ensure better livelihoods, the DP said the administration will not relent in nation building and continued pursuit of economic growth.
- 2 Aug 2025 - Human rights activist Mwabili Mwagodi claims his life is in danger following his recent criticism of the government.
- 2 Aug 2025 - A police officer had called for reducing women recruits, labeling them 'weak'.
- 2 Aug 2025 - A section of residents and school officials from Mukuru kwa Ruben were on Friday blocked from accessing Gatoto Community Primary School, despite a court order that overturned an attempt by the government to register the school under its wings.
- 2 Aug 2025 - South Africa's deputy president defended himself Friday for failing to declare a gift to his wife of a diamond from a jailed gem dealer.
- 2 Aug 2025 - Former ICT Cabinet Secretary Margaret Nyambura Ndung'u has been appointed as senior researcher and digital policy specialist at the Digital Public Infrastructure (DPI) Safeguards Strategic Advisory Board, an initiative by the United Nations Office for…
- 2 Aug 2025 - The ranks are divided into two systems, and provide structure and organisation to KDF.
- 2 Aug 2025 - Moussa Mara expressed solidarity with opposition figures held after political parties were dissolved.
- 2 Aug 2025 - Water contributes 55% to 65% of total body mass.
- 2 Aug 2025 - Mbadi also addressed claims of supporting Gachagua ahead of 2027.