- 245 viewsKufuatia kushindwa kwa kundi la Islamic State (IS) mwaka wa 2019, makumi ya maelfu ya watu, wakiwemo wanawake na watoto wengi, walizuiliwa wakati eneo linaloshikiliwa na IS nchini Syria lilipochukuliwa tena. Wengi ni raia wa kigeni. Mmoja wao ni "Asim", 19, kutoka Tunisia, ambaye alikuwa na umri wa miaka 10 tu aliposafiri kwenda Syria na kaka yake, ambaye alijiunga na IS. Mwandishi wa BBC Persian Nafiseh Kohnavard alipewa fursa adimu ya kutembelea kambi na vituo vya kizuizini kaskazini mwa Syria. #bbcswahili #syria #vita
Kambi ya Syria : Sikujiunga na IS nilikuwa na miaka 10 tu
- 22 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has shed light on how the government secured the release of the
- 22 Aug 2025 - Scores were injured as former deputy president Rigathi Gachagua's supporters clashed with armed goons who attempted to disrupt the procession from JKIA.
- 22 Aug 2025 - The Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has called on Members of Parliament to embrace transparency in the
- 22 Aug 2025 - The People’s Liberation Party (PLP) leader, Martha Karua, has questioned the huge sums of money splashed in churches by
- 22 Aug 2025 - Safaricom unveils time-based internet bundles
- 22 Aug 2025 - Thousands displaced as Lake Naivasha, irrigation canal burst banks
- 22 Aug 2025 - A guard of honour comes to the rescue, as tech fails to deliver visitors to KU Referral Hospital
- 22 Aug 2025 - CBK to monitor bank customers' transactions in real-time after system upgrade
- 22 Aug 2025 - Walking in the rain at AG's chambers, looking for proof of 'return of seal'
- 22 Aug 2025 - Why Ruto wanted the anti-laundering Bill