- 2,030 views
Sekta ya vyombo vya habari na ile ya usanii zimepata pigo kubwa katika muda wa wiki moja iliyopita kufuatia vifo vya watu mashuhuri. Katika kipindi cha wiki moja , watu wawili mashuhuri wameaga dunia . Mnamo Alhamisi wiki iliyopita Gibson Gathu, ayefahamika zaidi kama prosecutor kwenye kipindi cha Vioja Mahakami kinachopeperushwa katika runinga ya KBC Channel One aliaga dunia . Wadau wa sekta ya usanii wanaendelea kutoa heshima zao kwa marehemu Gibson Gathu kabla ya mazishi yake Jumanne katika kijiji cha Matundura huko Kinangop kaskazini , kaunti ya Nyandarua . Tunaomboleza na familia zote mbili .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #catherinekasavuli #gibsonmbugua
Sekta ya vyombo vya habari yaomboleza vifo vya Catherine Kasavuli na Gibson Mbugua
- - Duniani Leo ››
- 25 Aug 2025 - Political activist and businessman Morara Kebaso has blamed Kenyans for enabling leaders who preside over corruption scandals, saying
- 25 Aug 2025 - On Sunday, hundreds of congregants gathered on the disputed land, standing alongside their church leadership in protest. The members insist the land legally belongs to the church and accused the government of sidelining them in the decision-making…
- 25 Aug 2025 - Embattled Governor Mutai: Powerful forces want me out
- 25 Aug 2025 - We have a good opportunity to bolster our economy, democracy
- 25 Aug 2025 - Kenya and Africa need catalytic investors, not donors, to develop
- 25 Aug 2025 - From Saitoti to Kindiki: How Raila handshakes cause trouble in paradise
- 25 Aug 2025 - Kenyan riders find it hard to tackle tricky coastal trails
- 25 Aug 2025 - Third force: Youthful MPs form team to 'salvage' the country
- 25 Aug 2025 - State-county row stalls Sh750m water project
- 25 Aug 2025 - Banks face more scrutiny over slow response to CBK rate cuts