Skip to main content
Skip to main content

Exotica FC ya Samburu mashariki waliibuka mabingwa

  • | Citizen TV
    327 views
    Duration: 3:01
    Exotica FC kutoka samburu Mashariki ndio mabingwa wa kombe la wakfu wa nadome,baada ya kuwanyuka huruma FC kutoka baragoi mabao manne kwa tatu kupitia mikwaju ya penalti.