Skip to main content
Skip to main content

Mvutano wa bunge na serikali | Bunge latajwa kama chombo cha serikali, sio cha watu

  • | Citizen TV
    2,913 views
    Duration: 3:12
    Uhuru wa bunge la kitaifa na lile la seneti umeendelea kuwekwa kwenye darubini, miaka 15 tangu kuanza kutekelezwa kwa katiba ya sasa. Bunge kwa miaka mingi likionekana kutekwa na serikali ya kitaifa kutimiza malengo yake, huku maswala ya uwajibikaji wa maswala yaliyo wazi ukikosolewa na baadhi ya wataalam waliohusika na uratibu wa katiba hii