Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aapa kuwakomesha walaghai wa SHA

  • | Citizen TV
    12,387 views
    Duration: 2:43
    Rais William Ruto sasa anasema serikali itawakamata na kuwashtaki watu au hospitali zinazohusika na ufisadi kwenye bima ya afya ya SHA. Rais akionya kuwa serikali haitakaa kimya huku mabilioni ya pesa yakiendelea kupotea kutokana na ukora wa baadhi ya watu nchini. Rais aliyezungumza Ikulu ya Nairobi sasa anasema watakaopatikana na hatia watalazimika kurejesha fedha walizolaghai