- 34 views
Mashirika yasiyo ya kiserikali likiwemo la Crawn trust linaloongozwa na Daisy Amdany, yametoa mapendekezo ambayo yatahakikisha idadi ya thuluthi moja ya jinsia ya kike katika mabunge ya taifa na seneti itaafikiwa. Mashirika hayo yamewataka wabunge kulipa uzito suala hilo ili kuwapa fursa wanawake kushiriki katika nafasi za uongozi. Akizungumza katika kongamano lililowaleta pamoja wadau wa masuala ya uongozi wa mwanamke nchini, mshauri wa ofisi ya rais wa masuala ya haki za wanawake Harriet Chiggai amesema serikali ya kenya kwanza inapania kutekeleza sheria ya uwakilishi wa jinsia kikamilifu.
Mapendekezo yakuwapa fursa wanawake kushiriki katika nafasi za uongozi
- - LIVE|| TV47 News Now ››
- - Flood deaths hit 82 ››
- 28 Apr 2024 - An earthquake of magnitude 6.5 struck Japan's Bonin Islands, the United States Geological Survey (USGS) said on Saturday.
- 28 Apr 2024 - Sierra Leone's Energy Minister Kanja Sesay resigned on Friday over a weeks-long electricity crisis, the same day the government announced it had paid some of the tens of millions of dollars it owed to energy providers.
- 28 Apr 2024 - A day after the recent United Democratic Alliance (UDA) party elections, candidates who were vying for seats in the just concluded polls have expressed concerns about suspected interference with the voting process.
- 28 Apr 2024 - Crisis looms as schools to reopen amid floods, interns strike threat
- 28 Apr 2024 - Teachers at the forefront of getting girls vaccinated against deadly virus
- 28 Apr 2024 - Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest
- 28 Apr 2024 - 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
- 28 Apr 2024 - Crisis deepens as counties send home defiant medics
- 28 Apr 2024 - Ohio police released video of a Black man who died at a local hospital after repeatedly telling officers "I can't breathe" as they pinned him to the floor of a bar and handcuffed him, evoking memories of the killing of George Floyd in 2020.
- 28 Apr 2024 - Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.