- 34 views
Mashirika yasiyo ya kiserikali likiwemo la Crawn trust linaloongozwa na Daisy Amdany, yametoa mapendekezo ambayo yatahakikisha idadi ya thuluthi moja ya jinsia ya kike katika mabunge ya taifa na seneti itaafikiwa. Mashirika hayo yamewataka wabunge kulipa uzito suala hilo ili kuwapa fursa wanawake kushiriki katika nafasi za uongozi. Akizungumza katika kongamano lililowaleta pamoja wadau wa masuala ya uongozi wa mwanamke nchini, mshauri wa ofisi ya rais wa masuala ya haki za wanawake Harriet Chiggai amesema serikali ya kenya kwanza inapania kutekeleza sheria ya uwakilishi wa jinsia kikamilifu.
Mapendekezo yakuwapa fursa wanawake kushiriki katika nafasi za uongozi
- 13 May 2025 - The Persons with Disabilities Bill, 2025, is set to offer people with disabilities tax exemptions and reliefs that will significantly improve their quality of life and enhance their access to services.
- 13 May 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has dismissed opposition leaders inciting public dissent against the Kenya Kwanza administration.
- 13 May 2025 - Healthcare workers under the Universal Health Coverage (UHC) program countrywide on Monday demonstrated outside the Ministry of Health headquarters at Afya House in Nairobi.
- 13 May 2025 - Magistrate BenMark Ekhubi delivered the ruling on Tuesday, allowing an application by the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP).
- 13 May 2025 - The floods were triggered by heavy rainfall in the nearby Eburru Forest, which sent torrents of water cascading down into surrounding villages. The sudden deluge left a trail of destruction in its wake, washing away property, submerging farmland, and…
- 13 May 2025 - The protestors pitched camp at Afya House as they demanded to speak to Health CS Aden Duale.
- 13 May 2025 - More than 22 million Kenyans have so far registered under the Social Health Authority (SHA), Medical Services PS Dr. Ouma Oluga has announced.
- 13 May 2025 - Jude Chesire, the CEO of the Kenya Sugar Board, has asserted that all private investors in the sugar sector will have their licenses revoked by the State if they underdeliver.
- 13 May 2025 - “There is a written understanding that expenditures incurred by Kenya will be reimbursed."
- 13 May 2025 - Biking for me started as a way to solve a personal problem. Now, it’s grown into a lifestyle.