- 2,216 views
Hatma ya mshukiwa wa mauaji ya dereva wa magari ya safari rally Asad Khan, Maxine Wahome bado haijulikani baada ya mkurugenzi wa mashtaka kukosa kutoa mwelekeo kuhusu kesi. Afisa w aupelelezi ameieleza mahakama kuwauchunguzi kuhusu kesi hiyo umekamilika na faili kuwasilishwa kwa mkurugenzi wa mashtaka kupendekeza makosa. Maxine Wahome whajafunguliwa mashtaka yoyote kufikia sasa, jambo ambalo limepingwa na wakili wa familia ya Assad Khan, Danstan Omari. Haya ni huku mmiliki wa nyumba ambako wawili hao walikuwa wakiishi akiiomba mahakama kuruhusiwa kukodisha nyumba hiyo kwani kufikia sasa anakadiria hasara ya shilingi 269,500. Hata hivyo, afisa w aupelelezi amesema kuwa hayo yatafanyika Wahome atakapofunguliwa mashtaka. Mahakama itatoa aumuzi wake tarehe 15 mwezi ujao.
Mshukiwa wa mauaji ya dereva wa magari ya safari rally Asad Khan, Maxine Wahome afikishwa mahakamani
- 14 Aug 2025 - At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
- 14 Aug 2025 - The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
- 14 Aug 2025 - Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
- 14 Aug 2025 - South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
- 14 Aug 2025 - Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
- 14 Aug 2025 - "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
- 14 Aug 2025 - The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
- 14 Aug 2025 - Kenyan exports set for battle against Team Kenya stars once again
- 14 Aug 2025 - Lack of electricity delays handing-over of Gichugu housing project
- 14 Aug 2025 - Housing to remain key at World Urban Forum