- 126 views
Wakazi wa Kaunti ya Laikipia watanufaika na matibabu ya bure ya mifupa kwa muda wa wiki mbili. Matibabau hayo yanatolewa na shirika la Future Health Africa kwa ushirikiano na hospitali ya rufaa ya Nanyuki. Matibabu haya yanalenga kuwafanyia upasuaji baadhi ya wagonjwa mia mbili hamsini wenye matatizo ya viungo na mifupa na kuwachunguza wagonjwa wengine 2,500 ambao wana shida mbalimbali za mifupa. kulingana na gavana wa kaunti ya Laikipia Joshua Irungu, kambi hiyo ya matibabu pia itawafaa wagonjwa kutoka kaunti jirani za Meru, Nyandarua, Isiolo, Samburu na Nyeri.
Shirika la 'Future Health Africa' latoa matibabu ya bure ya mifupa kwa wakaazi wa Laikipia
- 4 May 2024 - Thirty two Kenyan pastoralists from the Turkana community who were imprisoned by a Ugandan military court for a year have finally been released.
- 4 May 2024 - Three people died following a grisly road accident near Nakuru Teachers College on the Nakuru - Eldoret highway involving a 14-seater matatu and a truck on Saturday afternoon.
- 4 May 2024 - Majority Leaders of both Houses of Parliament have faulted opposition chief Raila Odinga over his criticism of the government, urging him to respect President William Ruto who has publicly backed his African Union Commission (AUC) Chairperson bid.
- 4 May 2024 - A shocking incident was on Saturday witnessed at Kabiro-ini village in Gichugu, Kirinyaga County, after a 29-year-old woman threw herself into River Nyamindi with her 5-year-old child strapped to her back.
- 4 May 2024 - A humanitarian volunteer has apologised to Kenyans after sharing a selfie of herself and a friend while conducting rescue efforts at a flood-hit settlement.
- » Rescue volunteer apologises for taking selfie in front of distressed flood victims in Red Cross jacket4 May 2024 - A humanitarian volunteer has apologised to Kenyans after sharing a selfie of herself and a friend while conducting rescue efforts at a flood-hit settlement.
- 4 May 2024 - The Nyamira County government has suspended 79 employees, who face allegations of using fake academic credentials to gain employment.
- 4 May 2024 - NMG journalists dominated in various print, TV and digital sub-categories.
- 4 May 2024 - It comes a year after he wed wife Rebecca at a private ceremony in Kericho on May 6, 2023.
- 4 May 2024 - The country has witnessed several unplanned power outages in recent years.