- 126 views
Wakazi wa Kaunti ya Laikipia watanufaika na matibabu ya bure ya mifupa kwa muda wa wiki mbili. Matibabau hayo yanatolewa na shirika la Future Health Africa kwa ushirikiano na hospitali ya rufaa ya Nanyuki. Matibabu haya yanalenga kuwafanyia upasuaji baadhi ya wagonjwa mia mbili hamsini wenye matatizo ya viungo na mifupa na kuwachunguza wagonjwa wengine 2,500 ambao wana shida mbalimbali za mifupa. kulingana na gavana wa kaunti ya Laikipia Joshua Irungu, kambi hiyo ya matibabu pia itawafaa wagonjwa kutoka kaunti jirani za Meru, Nyandarua, Isiolo, Samburu na Nyeri.
Shirika la 'Future Health Africa' latoa matibabu ya bure ya mifupa kwa wakaazi wa Laikipia
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - The Commission is under pressure to deliver on its constitutional mandate and rebuild public confidence.
- 12 Jul 2025 - The law emphasises that officers must first attempt peaceful methods such as verbal warnings.
- 12 Jul 2025 - The Senegalese government issued a warning of 'repercussions' against the organisers.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- - Ndindi Nyoro: Government is to blame for the violence and deaths during the Saba Saba protests
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters