- 1,595 views
Mahakama imemhukumu aliyekuwa afisa wa polisi ambaye pia ni mhusika mkuu kwenye mauaji ya wakili willie kimani , Fredrick Leliman, Kifo.aidha aliyekuwa afisa wa polisi Stephen Cheburet amefungwa miaka 30 gerezani huku mshtakiwa wa tatu Sylvia Wanjiku akifungwa miaka 24 gerezani. aliyekuwa akitoa habari kwa polisi Peter Ngugi amefungw amiaka 20 gerezani. wanatuhumiwa kumuua wakili Willie Kimani, mteja wake Josephat Mwenda na dereva Joseph Muiruri. watatu hao waliuwawa mwaka 2016 na maiti yao kutupwa mtoni old donyo sabuk.
Afisa wa polisi Fredrick Leliman ahukumiwa kifo kwa mauaji ya wakili Willie Kimani
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
- 16 Aug 2025 - Kenyans to governors: Find something better to do with your time
- 16 Aug 2025 - Mbadi blasts governors for non-remittance of pension dues
- 16 Aug 2025 - Court thwarts bid for direct payments for call-back tunes
- 16 Aug 2025 - Dancing and ululations at State House won't revive the economy
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy