- 317 views
Kinara wa muungano wa Azimio Raila Odinga anamtaka rais Ruto kukoma kumshambulia familia ya aliyekuwa rais Uhuru Kenyatta kuhusu swala la kulipa ushuru. Odinga aliyezungumza eneo la Kibra kwenye mkutano wa kupinga serikali ya Ruto anashikilia kuwa ni jukumu mamlaka ya kra kudai ushuru ila sio ya rais Ruto. Odinga ameshikilia azma yake ya kutaka serikali ya Ruto kung’atuka mamlakini na kupinga hatua za Ruto kubuni tume mpya IEBC bila ushirikiano.
Raila amtaka rais Ruto kukoma kushambulia familia ya aliyekuwa rais Uhuru Kenyatta
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - The Commission is under pressure to deliver on its constitutional mandate and rebuild public confidence.
- 12 Jul 2025 - The law emphasises that officers must first attempt peaceful methods such as verbal warnings.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- 12 Jul 2025 - Lawyer Pheroze Nowrojee: Legal luminary who fought for justice
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters
- 12 Jul 2025 - Education system: Why sex abuse victims stay silent for decades