- 857 viewsMwanakijiji kutoka Uganda, Musa Hasahya Kasera, anasema familia yake kubwa inajumuisha wake 12, watoto 102 na wajukuu 578. “Nimekuwa na matatizo mengi, kutafuta fedha za karo ya shule, kutoa chakula kwa kila mtu, kutafuta nguo na fedha za kusaidia endapo mtu anaumwa,” alisema mzee wa miaka 68 ambaye alipendekeza wake zake wachukue vidhibiti vya uzazi ili familia yao iache kukua. Kuoa wake wengi ni halali nchini Uganda, nchi yenye viwango vya juu zaidi vya kuzaliwa duniani, ambapo ni asilimia 50 tu ya wanawake wanapata udhibiti wa kisasa wa uzazi, kulingana na UN Women. "Alipoleta mwingine (mke), nakumbuka nilijisikia vibaya sana na hasira. Lakini baada ya muda nilizoea yote," alisema mke wa tatu wa Masa, Zabina Hasahya. #bbcswahili #uganda #familia
Musa Hasahya Kasera: 'Nina wake 12, watoto 102 na wajukuu 568'
- 21 Aug 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua has arrived in Kenya after his long tour in the United States.
- 21 Aug 2025 - In a Gazette Notice published Thursday, Senate Speaker Amason Jeffah Kingi announced that the sittings will run from Wednesday, August 27, to Friday, August 29, 2025, beginning at 9:00 a.m. each day at the Senate Chamber, Main Parliament Buildings in…
- 21 Aug 2025 - The Social Health Authority (SHA) says it has released Ksh.3.4 billion to health facilities across the country to settle claims under the Social Health Insurance Fund (SHIF).
- 21 Aug 2025 - The victims, identified as Meshack Ongulo and his wife Modesta Mwakali, both teachers in the area, are believed to have come into contact with a live electrical cable near their bathroom.
- 21 Aug 2025 - A man has been sentenced to 20 years in prison for shooting a Kenya Power staffer with an arrow while on official duty.
- 21 Aug 2025 - Uganda has agreed to receive migrants who do not qualify to remain in the United States, a foreign ministry official said Thursday, in Washington's latest attempt to speed up deportations.
- 21 Aug 2025 - The sittings will be starting on Wednesday August 27, from 9 am in the Senate Chambers.
- 21 Aug 2025 - Murkomen shed light on the ongoing transfers and disciplinary actions as he revealed plans to reassign some senior police officers.
- 21 Aug 2025 - Supporters of the Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua are expected to march from the
- 21 Aug 2025 - The companies were closed following a raid targeting unlicensed operators in the city.