- 667 views
Klabu ya Gor Mahia imepata ushindi wa moja bila dhidi ya Kibra Soccer katika mechi ya FKF Cup iliyoandaliwa katika uga wa Moi Sports Centre Kasarani. Kocha wa K’ogalo Jonathan Mckintry alipumzisha wachezaji wengi ambao wameshiriki mechi nyingi za ligi. Hata hivyo K’ogalo walipata bao lao katika dakika ya 33 kupitia mchezaji Lloyd Khavichi. Klabu ya Gor Mahia sasa itasubiri kujua ni klabu gani itakayocheza nayo katika raundi ya 16 bora.
K’ogalo watamba FKF Cup
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 5 May 2025 - His grandmother once prophesied a dawn for him, and it has come to pass.
- 5 May 2025 - A vicious battle for the heart and soul of Kenya has been fully enjoined by China and the US. In May 2024, President William Ruto made a state visit to the US where he signed off on a host of deals. The Kenyans met top level American government officials…
- 5 May 2025 - Politicians say they will sacrifice personal ambitions to liberate the country.
- 5 May 2025 - From prestigious to perilous: How Vice Chancellor post lost its lustre
- 5 May 2025 - Why cardiovascular disease is no longer an older adult's problem
- 5 May 2025 - Blood of post-election, Gen Z protests' victims is crying for justice
- 5 May 2025 - Emotional eulogies, political divides mark tributes to Kasipul MP
- 5 May 2025 - After Raila loses, riots erupt then deal follows
- 5 May 2025 - Opposition: We will send Ruto home in 2027
- 5 May 2025 - The 12 minutes call that sparked a mother's hope for son's return