- 34 views
Rais William Ruto ameonya vikali dhidi ya udhalilishaji wa wanawake wanaotafuta ajira katika mradi wa ujenzi nyumba za bei nafuu. Rais ambaye amezungumza baada ya kuzindua mradi huo eneo bunge la Starehe jijini Nairobi, amesema wenyeji watapewa kipaumbele katika umiliki wa nyumba hizo zitakazojengwa na mbunge wa eala suileman shabal wa muungano wa Azimio kupitia kampuni yake ya Gulf capital. Kwa upande wake naibu rais Rigathi Gachagua amewakaribisha wabunge wa Azimio kuungana na serikali kwa madhumuni ya ajenda ya maendeleo. Mbunge wa Langata Felix Oduor almaarufu jalango na mbunge wa Dagoretti kaskazini Beatrice Elachi kutoka muungano wa Azimio ni miongoni mwa wabunge waliohudhuria
Rais aonya dhidi ya udhalilishaji wa wanawake wanaposaka ajira
- 17 May 2024 - An Algerian man who went missing in 1998 during the country’s civil war has been found alive in his neighbour’s cellar 26 years later, according to authorities.
- 17 May 2024 - Angelina Kalunda went to the hospital heavily pregnant with triplets only for her and the husband to return home with one child after two of her children mysteriously went missing in the facility.
- 17 May 2024 - A woman has moved to court seeking custody of a child she sired with a US-based Kenyan man.
- 17 May 2024 - Kenyans who have applied for passports in Nairobi and received notifications to collect the documents can do so from the Immigration offices at Nyayo House this Saturday.
- 17 May 2024 - War Memorial Hospital takeover: Kihika speaks amid land tussle
- 17 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Mt Kenya leaders have launched a political coalition dubbed Haki Coalition aimed at vouching for the “one man, one vote, […]
- 17 May 2024 - In Agikuyu traditional society, blowing the horn signifies different things on different occasions.
- 17 May 2024 - National Police Service Commission said it cannot cope with the demand
- 17 May 2024 - Ngeno said branding should include the place of origin to attract more foreign customers
- 17 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has advised Kenyans to expect rainfall and strong winds over the weekend in some parts of the country. In a statement on Friday, May 17, 2024, the weatherman indicated that Central Highlands including Nairobi wi*l…