Skip to main content
Skip to main content

Rais wa FIFA Infantino avutiwa na Uwanja wa Talanta, asema utaiweka Kenya kwenye ramani ya dunia

  • | Citizen TV
    6,615 views
    Duration: 35s
    Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Gianni Infantino ameeleza kufurahishwa na maendeleo ya uwanja wa talanta utakaoiweka kenya kwenye ramani nzuri ya dunia kuelekea AFCON 2027