Skip to main content
Skip to main content

Ruto aapa kutolegeza kamba kwa mfumo wa E-Procurement akiwataka wanaopinga mfumo huo kujiuzulu

  • | Citizen TV
    1,361 views
    Duration: 2:37
    Rais William Ruto ametoa onyo kwa maafisa wa serikali wanaopinga mfumo wa kidijitali wa kutoa kandarasi. Akizungumza kaunti ya siaya, Rais Ruto amesema maafisa wa serikali wanaopinga mfumo huo wajiuzulu kazini akiongeza kuwa serikali kamwe haitalegeza kamba