Ukraine yataka kuwepo uchunguzi wa uhalifu wa vita dhidi ya Russia

  • | VOA Swahili
    3,359 views
    Ukraine yashinikiza kuwepo uchuguzi wa uhalifu wa vita ufanyike baada ya kanda za video kuibuka kwenye mitandao ya jamii ikionyesha wanajeshi wa Russia wakimua mfungwa wa vita raia wa Ukraine. Rais wa Marekani Joe Biden anafanya ziara ya siku mbili nchini Canada. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari