- 5,940 views
Uchukuzi umetatizika na biashara nyingi kufungwa baada ya wafuasi wa Azimio la umoja one kenya alliance kufanya maandamano mjini Migori. Waandamanaji hao walifunga barabara kuu ya Migori kuelekea Isebania na kuwalazimu waendeshaji magari kutafuta njia mbadala. Waandamanaji hao wanalalamikia gharama ya juu ya maisha, na kuitaka serikali kushughulikia bei ya bidhaa muhimu. Aidha maandamano hayo yanajiri kufuatia wito wa viongozi wa Azimio kuwataka wakenya wakenya kumimikina barabarari kuwajibisha serikali kuhusu masuala kadhaa haswa gharama ya juu ya maisha na kufunguliwa kwa sava za IEBC. Aidha maandamano kama hayo yalifanyika katika kaunti ya Nyandarua, na kuongozwa na mshirikishi w aazimio eneo hilo Dickosn Manyara.
Biashara na barabara zafungwa kufuatia maandamano Migori
- 16 Jul 2025 - The Malaba Law Court has sentenced to 30 years imprisonment a school watchman it found guilty of defiling a 12-year-old school girl in Teso North, Busia County.
- 16 Jul 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua has faced the ire of Kenyans after joining the thousands of heartbroken fans and leaders who shared their tributes to fallen comedian KK Mwenyewe - a young man who shot to fame by comically imitating the then-…
- 16 Jul 2025 - ICT Cabinet Secretary William Kabogo has said that the ministry will take action against parents or guardians who provide opportunities for their children to access pornographic material.
- 16 Jul 2025 - Koimburi was charged in absentia alongside Kanyenya-ini Ward MCA Grace Nduta Wairimu and five others
- 16 Jul 2025 - A woman has been sentenced to three years’ probation with mandatory psychiatric evaluation after a Kisumu court found that she was guilty of murdering her infant son who was 11 months old.
- 16 Jul 2025 - This is a move to improve access government services.
- 16 Jul 2025 - Maraga has criticised the government over what he termed as the misuse of the criminal justice system
- 16 Jul 2025 - BCLB in plans to introduce strict gambling laws.
- 16 Jul 2025 - According to to reports, the fire began at around 7PM on Tuesday, and despite the efforts by neighbours to put it our, two chilren a boy and a girl aged 8 and 4 years respectively, died.
- 16 Jul 2025 - Why KeNHA uses private vehicles for highway patrol