- 182 viewsWajumbe kutoka sehemu mbali mbali za dunia watapokutana kwenye Umoja wa mataifa kuzungumzia suala la maji, Brook Thompson atakuwa miongoni mwao, akielezea hadithi ya juhudi za kabila lake kuokoa mto wao. Mto Klamath, unaomwaga maji kutoka Oregon hadi pwani ya California, umesaidia maisha ya binadamu kwazaidi ya miaka elfu moja. Watu wa Yurok na makabila mengine yanayoishi kando ya ukingo wake kwa zaidi ya miaka elfu moja wametegemea mto wa Klamath kama chanzo kikubwa cha mojawapo ya vyakula bora zaidi vya asili: samaki aina ya Salmon. #marekani #kongamano #maji #un #mto #umojawamataifa #brookthompson #kabila #mtoklamath #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mzawa wa Marekani kuliambia kongamano la maji UN alivyookoa mto wao
- 13 May 2025 - The Persons with Disabilities Bill, 2025, is set to offer people with disabilities tax exemptions and reliefs that will significantly improve their quality of life and enhance their access to services.
- 13 May 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has dismissed opposition leaders inciting public dissent against the Kenya Kwanza administration.
- 13 May 2025 - Healthcare workers under the Universal Health Coverage (UHC) program countrywide on Monday demonstrated outside the Ministry of Health headquarters at Afya House in Nairobi.
- 13 May 2025 - Magistrate BenMark Ekhubi delivered the ruling on Tuesday, allowing an application by the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP).
- 13 May 2025 - The floods were triggered by heavy rainfall in the nearby Eburru Forest, which sent torrents of water cascading down into surrounding villages. The sudden deluge left a trail of destruction in its wake, washing away property, submerging farmland, and…
- 13 May 2025 - The protestors pitched camp at Afya House as they demanded to speak to Health CS Aden Duale.
- 13 May 2025 - More than 22 million Kenyans have so far registered under the Social Health Authority (SHA), Medical Services PS Dr. Ouma Oluga has announced.
- 13 May 2025 - Jude Chesire, the CEO of the Kenya Sugar Board, has asserted that all private investors in the sugar sector will have their licenses revoked by the State if they underdeliver.
- 13 May 2025 - “There is a written understanding that expenditures incurred by Kenya will be reimbursed."
- 13 May 2025 - Biking for me started as a way to solve a personal problem. Now, it’s grown into a lifestyle.