- 408 viewsMarekani: Wanafunzi watatu na watu watatu wauawa katika shambulizi la bunduki shule ya Nashville. Bendera kwenye ikulu ya Marekani pamoja na majengo ya serikali , zitapeperushwa nusu mlingoti hadi machi 31 jioni kufuatia vifo vya wanafunzi watatu na watu wazima watatu kwenye shule ya Nashville katika jimbo la Tennessee, kutokana na shambulizi la risasi Jumatatu, Machi 27. #mauaji #voa #nashville #tennessee #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mwanafunzi wa zamani ashambulia shule kwa bunduki Marekani
- 29 Apr 2024 - Chinese state media reported that he met Premier Li Qiang in Beijing, during which Li told Musk that Tesla's development in China could be regarded as a successful example of U.S.-China economic and trade cooperation.
- 29 Apr 2024 - So far, 150 schools across the country have been affected by floods, with some remaining submerged and with no rooftops hours before the opening date.
- 29 Apr 2024 - Patients in need of palliative care often face stigma. As Maryanne Nyambura reports, a section of cancer patients in Trans Nzoia County are faced with this reality.
- 29 Apr 2024 - Transport to the North Eastern part of the country is slowly edging towards full paralysis after the Garissa Nairobi highway was cut off by flood waters.
- 29 Apr 2024 - Kenya Airways was forced to divert flights at Jomo Kenyatta International Airport on Saturday night, due to heavy rains and poor visibility.
- 29 Apr 2024 - The loss of lives comes as the rains and the floods continue to cause massive destruction of property and infrastructure across nearly all counties.
- 28 Apr 2024 - The Departmental Committee on Regional Development has pledged to support the expansion of the Coast Development Authority (CDA) Integrated Fruit Processing Plant in Tana River County to curb post-harvest losses. The Committee, led by Kabuchai…
- 28 Apr 2024 - A search and rescue mission is ongoing after a private boat that was ferrying an unspecified number of people capsized between Madogo and Garissa on Sunday evening.
- 28 Apr 2024 - South Africa’s former President Thabo Mbeki has vowed to remove “rotten apples” and “thieves” from the governing African National Congress (ANC) party. The 81-year-old was on the campaign trail for the ANC for the first time ahead of elections in May.…
- 28 Apr 2024 - Migrants are to start being detained within weeks in preparation for the first flights taking off to Rwanda, the Home Office has said. It comes after the Guardian reported people would start to be transferred to detention centres on Monday. In response…